Skip to content

Cainan

7 mistari · 2 wanafamilia

Anajulikana pia kama: Kenan

Mistari inayomtaja Cainan

  1. Enoshi alipokuwa ameishi miaka tisini, akamzaa Kenani.

  2. Baada ya kumzaa Kenani, Enoshi aliishi miaka 815, naye alikuwa na watoto wengine wa kiume na wa kike.

  3. Kenani alipokuwa ameishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli.

  4. Baada ya kumzaa Mahalaleli, Kenani aliishi miaka 840, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.

  5. Kenani aliishi jumla ya miaka 910, ndipo akafa.

  6. Kenani, Mahalaleli, Yaredi,

  7. Lameki alikuwa mwana wa Methusela, Methusela alikuwa mwana wa Enoki, Enoki alikuwa mwana wa Yaredi, Yaredi alikuwa mwana wa Mahalaleli, Mahalaleli alikuwa mwana wa Kenani,