Rukia maudhui
Zaburi 39:7-11

Tumaini Katika Mungu Katikati ya Adhabu

Zaburi 39:7-11
7
“Lakini sasa Bwana, nitafute nini? Tumaini langu ni kwako.
8
Niokoe kutoka kwenye makosa yangu yote, usinifanye kuwa dhihaka ya wapumbavu.
9
Nilinyamaza kimya, sikufumbua kinywa changu, kwa sababu wewe ndiwe uliyetenda hili.
10
Niondolee mjeledi wako, nimeshindwa kwa mapigo ya mkono wako.
11
Unakemea na kuadhibu wanadamu kwa ajili ya dhambi zao; unaharibu utajiri wao kama nondo aharibuvyo: kila mwanadamu ni kama pumzi tu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options