12
“Ee Bwana, usikie maombi yangu, usikie kilio changu unisaidie, usiwe kiziwi kwa kulia kwangu. Kwani mimi ninaishi na wewe kama mgeni, kama walivyokuwa baba zangu wote,
13
Tazama mbali nami, ili niweze kufurahi tena kabla sijaondoka na nisiwepo tena.”