- English
- King James KJV
- Complete Jewish CJB
- World English WEBM
- Berean Standard BSB
- American Standard ASV
- Geneva GNV
- Young's Literal YLT
- Douay-Rheims DRC
- International
- Shqip ALB
- العربية SVD
- বাংলা BN-IRV
- မြန်မာ Judson
- 简体文 CUV-S
- 繁體中文 CUV-T
- Čeština BKR
- Nederlands STVE
- Français LSG
- Deutsch SCH
- Ελληνικά Vamvas
- ગુજરાતી GU-IRV
- Hausa HCB
- עברית Hebrew
- हिन्दी HCV
- Magyar KAROLI
- Bahasa Indonesia INDO-TB
- Italiano Diodati
- 日本語 Kougo
- 한국어 Korean
- മലയാളം MAL
- मराठी MRCV
- Norsk DNB
- فارسی OPV
- Polski BG
- Português Almeida
- Română Cornilescu
- Русский Synodal
- Español RVG
- Kiswahili Neno
- Svenska SV1917
- Tagalog TAG-ADB
- தமிழ் TCV
- తెలుగు TSA
- ภาษาไทย THAI-KJV
- Українська Ohienko
- Tiếng Việt CADMAN
- Yorùbá YCB
Ushuhuda wa Wokovu na Tumaini
Zaburi 118:5-14
5
Wakati wa maumivu yangu makuu nilimlilia Bwana, naye akanijibu kwa kuniweka huru.
6
Bwana yuko pamoja nami, sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunitenda nini?
7
Bwana yuko pamoja nami, yeye ni msaidizi wangu. Nitawatazama adui zangu wakiwa wameshindwa.
8
Ni bora kumkimbilia Bwana kuliko kumtumainia mwanadamu.
9
Ni bora kumkimbilia Bwana kuliko kuwatumainia wakuu.
10
Mataifa yote yalinizunguka, lakini kwa jina la Bwana naliwakatilia mbali.
11
Walinizunguka pande zote, lakini kwa jina la Bwana naliwakatilia mbali.
12
Walinizunguka kama kundi la nyuki, lakini walikufa haraka kama miiba iteketeayo; kwa jina la Bwana naliwakatilia mbali.
13
Nilisukumwa nyuma karibu kuanguka, lakini Bwana alinisaidia.
14
Bwana ni nguvu yangu na wimbo wangu, yeye amefanyika wokovu wangu.
Settings