Skip to content
Zaburi 118:15-18

Zaburi 118:15-18

15
Sauti za shangwe na ushindi zinavuma hemani mwa wenye haki: “Mkono wa kuume wa Bwana umetenda mambo makuu!
16
Mkono wa kuume wa Bwana umeinuliwa juu, mkono wa kuume wa Bwana umetenda mambo makuu!”
17
Sitakufa, bali nitaishi, nami nitatangaza yale Bwana aliyoyatenda.
18
Bwana ameniadhibu vikali, lakini hakuniacha nife.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options