Skip to content
Zaburi 118:19-27

Zaburi 118:19-27

19
Nifungulie malango ya haki, nami nitaingia na kumshukuru Bwana.
20
Hili ni lango la Bwana ambalo wenye haki wanaweza kuliingia.
21
Nitakushukuru, kwa kuwa ulinijibu, umekuwa wokovu wangu.
22
Jiwe walilolikataa waashi, limekuwa jiwe kuu la pembeni.
23
Bwana ametenda hili, nalo ni la kushangaza machoni petu.
24
Hii ndiyo siku Bwana aliyoifanya, tushangilie na kufurahi ndani yake.
25
Ee Bwana, tuokoe, Ee Bwana, utujalie mafanikio.
26
Heri yule ajaye kwa jina la Bwana. Kutoka nyumba ya Bwana tunakubariki.
27
Bwana ndiye Mungu, naye ametuangazia nuru yake. Mkiwa na matawi mkononi, unganeni kwenye maandamano ya sikukuu hadi kwenye pembe za madhabahu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options