- English
- King James KJV
- Complete Jewish CJB
- World English WEBM
- Berean Standard BSB
- American Standard ASV
- Geneva GNV
- Young's Literal YLT
- Douay-Rheims DRC
- International
- Shqip ALB
- العربية SVD
- বাংলা BN-IRV
- မြန်မာ Judson
- 简体文 CUV-S
- 繁體中文 CUV-T
- Čeština BKR
- Nederlands STVE
- Français LSG
- Deutsch SCH
- Ελληνικά Vamvas
- ગુજરાતી GU-IRV
- Hausa HCB
- עברית Hebrew
- हिन्दी HCV
- Magyar KAROLI
- Bahasa Indonesia INDO-TB
- Italiano Diodati
- 日本語 Kougo
- 한국어 Korean
- മലയാളം MAL
- मराठी MRCV
- Norsk DNB
- فارسی OPV
- Polski BG
- Português Almeida
- Română Cornilescu
- Русский Synodal
- Español RVG
- Kiswahili Neno
- Svenska SV1917
- Tagalog TAG-ADB
- தமிழ் TCV
- తెలుగు TSA
- ภาษาไทย THAI-KJV
- Українська Ohienko
- Tiếng Việt CADMAN
- Yorùbá YCB
Mke Mwema (Sehemu ya 1)
Mithali 31:10-20
10
Mke mwenye sifa nzuri, ni nani awezaye kumpata? Yeye ni wa thamani sana kuliko marijani.
11
Mume wake anamwamini kikamilifu wala hakosi kitu chochote cha thamani.
12
Humtendea mumewe mema, wala si mabaya, siku zote za maisha yake.
13
Huchagua sufu na kitani naye hufanya kazi kwa mikono yenye bidii.
14
Yeye ni kama meli za biashara akileta chakula chake kutoka mbali.
15
Yeye huamka kungali bado giza huwapa jamaa yake chakula na mafungu kwa watumishi wake wa kike.
16
Huangalia shamba na kulinunua, kutokana na mapato yake hupanda shamba la mizabibu.
17
Hufanya kazi zake kwa nguvu, mikono yake ina nguvu kwa ajili ya kazi zake.
18
Huona kwamba biashara yake ina faida, wala taa yake haizimiki usiku.
19
Huweka mikono yake kwenye pia, navyo vidole vyake hushikilia kijiti chenye uzi.
20
Huwanyooshea maskini mikono yake na kuwakunjulia wahitaji vitanga vyake.
Settings