Rukia maudhui
Mithali 23:24-28

Mithali 23:24-28

24
Baba wa mwenye haki ana furaha kubwa, naye aliye na mwana mwenye hekima humfurahia.
25
Baba yako na mama yako na wafurahi, mama aliyekuzaa na ashangilie!
26
Mwanangu, nipe moyo wako, macho yako na yafuate njia zangu,
27
kwa maana kahaba ni shimo refu na mwanamke mpotovu ni kisima chembamba.
28
Kama mnyangʼanyi, hungojea akivizia, naye huzidisha wasio waaminifu miongoni mwa wanaume.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options