Rukia maudhui
Mwanzo 20:17-18

Abrahamu amwombea Abimeleki

Mwanzo 20:17-18
17
Kisha Abrahamu akamwomba Mungu, naye Mungu akamponya Abimeleki, mke wake, na watumwa wake wa kike kwamba waweze kupata watoto tena,
18
kwa kuwa Bwana alikuwa ameyafunga matumbo ya wote katika nyumba ya Abimeleki kwa sababu ya Sara, mke wa Abrahamu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options