Skip to content
Mwanzo 20:14-16

Mwanzo 20:14-16

14
Kisha Abimeleki akatwaa kondoo na ngʼombe, na watumwa wa kiume na wa kike akampa Abrahamu, akamrudisha Sara kwa mumewe.
15
Abimeleki akasema, “Nchi yangu iko mbele yako, ishi popote unapotaka.”
16
Akamwambia Sara, “Ninampa kaka yako shekeli elfu moja za fedha. Hii ni kufidia kosa lililofanyika dhidi yako mbele ya wote walio pamoja nawe; haki yako imethibitishwa kabisa.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options