Rukia maudhui
Wakolosai 4:2-4

Wakolosai 4:2-4

2
Dumuni sana katika maombi, mkikesha katika hayo pamoja na kushukuru.
3
Pia tuombeeni na sisi ili Mungu atufungulie mlango wa kunena, ili tupate kuitangaza siri ya Kristo, ambayo kwa ajili yake pia mimi nimefungwa.
4
Ombeni ili nipate kuitangaza Injili kwa udhahiri kama ipasavyo kunena.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options