Skip to content
Wakolosai 4:7-9

Wajumbe wa Paulo na Wafanyakazi Wenzake

Wakolosai 4:7-9
7
Tikiko atawaambia habari zangu zote. Yeye ni ndugu mpendwa, mtendakazi mwaminifu na mtumishi mwenzangu katika Bwana.
8
Nimemtuma kwenu kwa madhumuni haya ili mpate kufahamu hali yetu, na pia awatie moyo.
9
Anakuja pamoja na Onesimo, ndugu yetu mpendwa na mwaminifu, ambaye ni mmoja wenu. Watawaambia mambo yote yanayotendeka hapa kwetu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options