Skip to content
Wakolosai 4:2-6

Wakolosai 4:2-6

2
Dumuni sana katika maombi, mkikesha katika hayo pamoja na kushukuru.
3
Pia tuombeeni na sisi ili Mungu atufungulie mlango wa kunena, ili tupate kuitangaza siri ya Kristo, ambayo kwa ajili yake pia mimi nimefungwa.
4
Ombeni ili nipate kuitangaza Injili kwa udhahiri kama ipasavyo kunena.
5
Enendeni kwa hekima mbele yao walio nje, mkiukomboa wakati.
6
Maneno yenu yawe yamejaa neema siku zote, yanayofaa, ili mjue jinsi iwapasavyo na inavyofaa kumjibu kila mtu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options