Mistari ya Biblia kuhusu Vows: Of David
Mistari kuhusu Of David
Aliapa kiapo kwa Bwana na akaweka nadhiri kwa Yule Mwenye Nguvu wa Yakobo:
“Sitaingia nyumbani mwangu au kwenda kitandani mwangu:
sitaruhusu usingizi katika macho yangu, wala kope zangu kusinzia,
mpaka nitakapompatia Bwana mahali, makao kwa ajili ya Yule Mwenye Nguvu wa Yakobo.”