Mistari ya Biblia kuhusu Uzziel: 6. A goldsmith, aided in repairing the walls of Jerusalem
Mistari kuhusu 6. A goldsmith, aided in repairing the walls of Jerusalem
Uzieli mwana wa Harhaya, mmoja wa masonara, alikarabati sehemu iliyofuatia, naye Hanania mmoja wa watengenezaji marashi akakarabati sehemu iliyofuatia. Walitengeneza Yerusalemu mpaka kufikia Ukuta Mpana.