Mistari ya Biblia kuhusu Uzziel: 1. A son of Kohath
Mistari kuhusu 1. A son of Kohath
Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli. Kohathi aliishi miaka 133.
Wana wa Uzieli walikuwa Mishaeli, Elisafani na Sithri.
Mose akawaita Mishaeli na Elisafani, wana wa Uzieli mjomba wake Aroni, akawaambia, “Njooni hapa. Ondoeni miili ya binamu zenu mbele ya mahali patakatifu, mkaipeleke nje ya kambi.”