Mishael
Mistari inayomtaja Mishael
Wana wa Uzieli walikuwa Mishaeli, Elisafani na Sithri.
Mose akawaita Mishaeli na Elisafani, wana wa Uzieli mjomba wake Aroni, akawaambia, “Njooni hapa. Ondoeni miili ya binamu zenu mbele ya mahali patakatifu, mkaipeleke nje ya kambi.”