Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Trust: Not in carnal weapons

5 mistari · 66 vipengele

Mistari kuhusu Not in carnal weapons

  1. Ndipo Sauli akamvika Daudi silaha zake mwenyewe za vita. Akamvika dirii na chapeo ya shaba kichwani mwake.

  2. Daudi akajifunga upanga juu ya hayo mavazi na kujaribu kutembea kwa sababu alikuwa hana uzoefu navyo. Daudi akamwambia Sauli, “Siwezi kwenda nikiwa nimevaa hivi, kwa sababu sina uzoefu navyo.” Hivyo akavivua.

  3. Daudi akamwambia yule Mfilisti. “Wewe unanijia na upanga, mkuki na fumo, lakini mimi ninakujia kwa jina la Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa majeshi ya Israeli, ambaye wewe umemtukana.

  4. Siutumaini upinde wangu, upanga wangu hauniletei ushindi;

  5. Silaha za vita vyetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome,