Mistari ya Biblia kuhusu Titles and Names of the Devil: Lying spirit
Mistari kuhusu Lying spirit
“Bwana akauliza, ‘Kwa njia gani?’ “Akasema, ‘Nitakwenda na kuwa roho ya uongo katika vinywa vya manabii wake wote.’ “Bwana akasema, ‘Utafanikiwa katika kumshawishi. Nenda ukafanye hivyo.’