Mistari ya Biblia kuhusu Titles and Names of the Devil: Accuser of our brethren
Mistari kuhusu Accuser of our brethren
Kisha nikasikia sauti kuu mbinguni, ikisema: “Sasa wokovu na uweza na Ufalme wa Mungu wetu umekuja na mamlaka ya Kristo wake. Kwa kuwa ametupwa chini mshtaki wa ndugu zetu, anayewashtaki mbele za Mungu usiku na mchana.