Mistari ya Biblia kuhusu Threshing: Cattle employed in, not to be muzzled
Mistari kuhusu Cattle employed in, not to be muzzled
Usimfunge maksai kinywa anapopura nafaka.
Kwa maana imeandikwa katika Sheria ya Mose: “Usimfunge maksai kinywa apurapo nafaka.” Je, Mungu hapa anahusika na ngʼombe?
Kwa maana Maandiko husema, “Usimfunge maksai kinywa apurapo nafaka,” tena, “Mfanyakazi anastahili mshahara wake.”