Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu The Tribes of Israel: Under a president or chief

13 mistari · 21 vipengele

Mistari kuhusu Under a president or chief

  1. Mwanaume mmoja kutoka kila kabila, kila aliye kiongozi wa jamaa yake, atawasaidia.

  2. Haya ndiyo majina ya wanaume watakaowasaidia: “kutoka Reubeni, ni Elisuri mwana wa Shedeuri;

  3. kutoka Simeoni, ni Shelumieli mwana wa Surishadai;

  4. kutoka Yuda, ni Nashoni mwana wa Aminadabu;

  5. kutoka Isakari, ni Nethaneli mwana wa Suari;

  6. kutoka Zabuloni, ni Eliabu mwana wa Heloni;

  7. kutoka wana wa Yosefu: kutoka Efraimu, ni Elishama mwana wa Amihudi; kutoka Manase, ni Gamalieli mwana wa Pedasuri;

  8. kutoka Benyamini, ni Abidani mwana wa Gideoni;

  9. kutoka Dani, ni Ahiezeri mwana wa Amishadai;

  10. kutoka Asheri, ni Pagieli mwana wa Okrani;

  11. kutoka Gadi, ni Eliasafu mwana wa Deueli;

  12. kutoka Naftali, ni Ahira mwana wa Enani.”

  13. Hawa walikuwa wanaume walioteuliwa kutoka jumuiya, viongozi wa makabila ya baba zao. Walikuwa wakuu wa koo za Israeli.