Mistari ya Biblia kuhusu The Sword: Of the tongue of the wicked
Mistari kuhusu Of the tongue of the wicked
Niko katikati ya simba, nimelala katikati ya wanyama wenye njaa kuu: watu ambao meno yao ni mikuki na mishale, ambao ndimi zao ni panga kali.
Wananoa ndimi zao kama panga na kuelekeza maneno yao kama mishale ya kufisha.
Maneno ya kipumbavu huchoma kama upanga, bali ulimi wa mwenye hekima huleta uponyaji.