Mistari ya Biblia kuhusu The Sword: Often sent as a punishment
Mistari kuhusu Often sent as a punishment
Tokea siku za babu zetu mpaka sasa, hatia yetu imekuwa kubwa. Kwa sababu ya dhambi zetu, sisi na wafalme wetu na makuhani wetu tumekabiliwa na vita, utumwa, kutekwa na kudhiliwa katika mikono ya wafalme wa kigeni, kama ilivyo leo.
Aliachia watu wake wauawe kwa upanga, akaukasirikia sana urithi wake.