Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu The Long-Suffering of God: Punished for despising

4 mistari · 18 vipengele

Mistari kuhusu Punished for despising

  1. Lakini kama huyo mtumishi ni mwovu, naye akasema moyoni mwake, ‘Bwana wangu atakawia muda mrefu,’

  2. kisha akaanza kuwapiga watumishi wenzake, na kula na kunywa pamoja na walevi.

  3. Basi bwana wa mtumishi huyo atakuja siku asiyodhani na saa asiyoijua.

  4. Atamkata vipande vipande na kumweka katika sehemu moja pamoja na wanafiki, mahali ambako kutakuwa ni kulia na kusaga meno.