Mistari ya Biblia kuhusu The Death of Christ: Accompanied by supernatural signs
Mistari kuhusu Accompanied by supernatural signs
Wakati huo huo pazia la Hekalu likachanika vipande viwili, kuanzia juu hadi chini. Dunia ikatetemeka na miamba ikapasuka.
Makaburi yakafunguka na miili ya watakatifu waliokuwa wamekufa ikafufuliwa.
Wakatoka makaburini, na baada ya Yesu kufufuka, waliingia kwenye Mji Mtakatifu na kuwatokea watu wengi.