Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu The Apostles: Warned against a timid profession of Christ

7 mistari · 26 vipengele

Mistari kuhusu Warned against a timid profession of Christ

  1. Ninalowaambia gizani, ninyi lisemeni mchana peupe. Na lile mnalosikia likinongʼonwa masikioni mwenu, lihubirini juu ya nyumba.

  2. Msiwaogope wale wauao mwili lakini hawawezi kuua roho. Afadhali mwogopeni yeye awezaye kuiangamiza roho na mwili katika jehanamu.

  3. Je, shomoro wawili hawauzwi kwa senti moja tu? Lakini hakuna hata mmoja wao atakayeanguka chini pasipo Baba yenu kujua.

  4. Hata nywele za vichwa vyenu zote zimehesabiwa.

  5. Hivyo msiogope; kwa maana ninyi ni wa thamani kubwa kuliko shomoro wengi.

  6. “Kila mtu atakayenikiri mbele ya watu, mimi nami nitamkiri yeye mbele za Baba yangu aliye mbinguni.

  7. Lakini yeyote atakayenikana mimi mbele ya watu, mimi nami nitamkana mbele za Baba yangu aliye mbinguni.”