Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Testament

7 mistari · 2 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Hii ndiyo damu yangu ya Agano, imwagikayo kwa ajili ya wengi kwa ondoleo la dhambi.

  2. Akawaambia, “Hii ndiyo damu yangu ya agano, imwagikayo kwa ajili ya wengi.

  3. Vivyo hivyo baada ya kula, akakitwaa kikombe, akisema, “Kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu, imwagikayo kwa ajili yenu.

  4. Vivyo hivyo baada ya kula, akakitwaa kikombe, akisema, “Kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu. Fanyeni hivi kila mnywapo, kwa ukumbusho wangu.”

  5. Kwa habari ya wosia, ni muhimu kuthibitisha kifo cha yule aliyeutoa,

  6. kwa sababu wosia huwa na nguvu tu wakati mtu ameshakufa; kamwe hauwezi kutumika wakati yule aliyeuandika bado yuko hai.

  7. Hii ndiyo sababu hata lile agano la kwanza halikuweza kutekelezwa pasipo damu.