Mistari ya Biblia kuhusu Temptation: Poverty
Mistari kuhusu Poverty
Nisije nikawa na vingi vya kuzidi nikakukana na kusema, ‘Bwana ni nani?’ Au nisije nikawa maskini nikaiba, nami nikaliaibisha jina la Mungu wangu.
Baada ya kufunga siku arobaini usiku na mchana, hatimaye akaona njaa.
Mjaribu akamjia na kumwambia, “Ikiwa wewe ndiye Mwana wa Mungu, amuru mawe haya yawe mikate.”