Mistari ya Biblia kuhusu Steadfastness: David
Mistari kuhusu David
Kwa maana nimezishika njia za Bwana; sijatenda ubaya nikamwacha Mungu wangu.
Sheria zake zote zi mbele yangu, wala sijayaacha maagizo yake.
Kwa maana nimezishika njia za Bwana; sijatenda ubaya nikamwacha Mungu wangu.
Sheria zake zote zi mbele yangu, wala sijayaacha maagizo yake.