Mistari ya Biblia kuhusu Sheep: Firstlings of, not to be redeemed
Mistari kuhusu Firstlings of, not to be redeemed
“Lakini kamwe usimkomboe mzaliwa wa kwanza wa maksai, kondoo au mbuzi; hawa ni watakatifu. Nyunyizia damu yao juu ya madhabahu na uchome mafuta yao kama sadaka itolewayo kwa moto, harufu nzuri inayompendeza Bwana.