Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Serug

6 mistari · 2 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Reu alipokuwa na miaka thelathini na miwili, akamzaa Serugi.

  2. Baada ya Reu kumzaa Serugi, aliishi miaka 207, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

  3. Serugi alipokuwa na miaka thelathini, akamzaa Nahori.

  4. Baada ya Serugi kumzaa Nahori, aliishi miaka 200, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

  5. Serugi, Nahori, Tera,

  6. Nahori alikuwa mwana wa Serugi, Serugi alikuwa mwana wa Reu, Reu alikuwa mwana wa Pelegi, Pelegi alikuwa mwana wa Eberi, Eberi alikuwa mwana wa Sala,