Mistari ya Biblia kuhusu Self-Will and Stubbornness: Zedekiah
Mistari kuhusu Zedekiah
Pia alimwasi Mfalme Nebukadneza, ambaye alikuwa amemwapisha kwa jina la Mungu. Akashupaza shingo na akafanya moyo wake kuwa mgumu wala hakutaka kumgeukia Bwana, Mungu wa Israeli.