Mistari ya Biblia kuhusu Self-Will and Stubbornness: Refusing to hearken to the messengers of God
Mistari kuhusu Refusing to hearken to the messengers of God
Lakini watu wakakataa kumsikiliza Samweli wakasema, “Hapana! Tunataka mfalme wa kututawala.
“Hatutausikiliza ujumbe uliotuambia katika jina la Bwana!
“Lakini wakakataa kusikiliza, wakanipa kisogo kwa ukaidi na kuziba masikio yao.