Mistari ya Biblia kuhusu Sacrifices: The fruits of the earth or sacrifices without blood
Mistari kuhusu The fruits of the earth or sacrifices without blood
Lakini Abeli akaleta fungu nono kutoka baadhi ya wazaliwa wa kwanza wa mifugo yake. Bwana akamkubali Abeli pamoja na sadaka yake,
“ ‘Mtu yeyote aletapo sadaka ya nafaka kwa Bwana, sadaka yake itakuwa ya unga laini. Atamimina mafuta juu yake, aweke uvumba juu yake,