Mistari ya Biblia kuhusu Roads: From Judea to Galilee, by way of Samaria
Mistari kuhusu From Judea to Galilee, by way of Samaria
Bwana alipojua mambo haya, aliondoka Uyahudi akarudi tena Galilaya.
Wakati huo ilimlazimu apitie Samaria.
Akafika kwenye mji mmoja wa Samaria uitwao Sikari, karibu na lile shamba ambalo Yakobo alimpa mwanawe Yosefu.
Baada ya zile siku mbili, Yesu aliondoka kwenda Galilaya.