Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Rebellion Against God: Pharaoh

2 mistari · 63 vipengele

Mistari kuhusu Pharaoh

  1. Baadaye Mose na Aroni wakaenda kwa Farao, wakamwambia, “Hili ndilo asemalo Bwana, Mungu wa Israeli: ‘Waruhusu watu wangu waende, ili waweze kunifanyia sikukuu huko jangwani.’ ”

  2. Farao akasema, “Huyo Bwana ni nani, hata nimtii na kuruhusu Israeli uende? Simjui huyo Bwana wala sitawaruhusu Israeli waende.”