Mistari ya Biblia kuhusu Purifications: Insufficient for spiritual purification
Mistari kuhusu Insufficient for spiritual purification
Hata kama ningejiosha kwa sabuni na kutakasa mikono yangu kwa magadi,
wewe ungenitupa kwenye shimo la utelezi kiasi kwamba hata nguo zangu zingenichukia sana.
Hata ujisafishe kwa magadi na kutumia sabuni nyingi, bado doa la hatia yako liko mbele zangu,” asema Bwana Mwenyezi.