Mistari ya Biblia kuhusu Prophecy: Blessedness of reading, hearing, and keeping
Mistari kuhusu Blessedness of reading, hearing, and keeping
Amebarikiwa yeye asomaye maneno ya unabii huu, na wamebarikiwa wale wanaoyasikia na kuyatia moyoni yale yaliyoandikwa humo, kwa sababu wakati umekaribia.
“Tazama, naja upesi! Amebarikiwa yeye ayashikaye maneno ya unabii wa kitabu hiki.”