Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Poverty: General references

12 mistari · 1 kipengele

Mistari kuhusu General references

  1. hivyo umaskini utakuja juu yako kama mnyangʼanyi, na kupungukiwa kutakujia kama mtu mwenye silaha.

  2. Mali ya tajiri ni mji wake wenye ngome, bali ufukara ni maangamizi ya maskini.

  3. Afadhali kuwa na kidogo pamoja na kumcha Bwana, kuliko mali nyingi pamoja na ghasia.

  4. Afadhali kitu kidogo pamoja na haki kuliko mapato mengi pamoja na udhalimu.

  5. Usiupende usingizi la sivyo utakuwa maskini, uwe macho nawe utakuwa na chakula cha akiba.

  6. kwa maana walevi na walafi huwa maskini, nako kusinzia huwavika matambara.

  7. Bado kulala kidogo, kusinzia kidogo, bado kukunja mikono kidogo upate kupumzika:

  8. hivyo umaskini utakuja juu yako kama mnyangʼanyi, na kupungukiwa kutakujia kama mtu mwenye silaha.

  9. Yeye alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele, bali yule afuataye mambo ya upuzi atakuwa na umaskini wa kumtosha.

  10. Uutenge mbali nami udanganyifu na uongo; usinipe umaskini wala utajiri, bali unipe chakula cha kunitosha kila siku.

  11. Nisije nikawa na vingi vya kuzidi nikakukana na kusema, ‘Bwana ni nani?’ Au nisije nikawa maskini nikaiba, nami nikaliaibisha jina la Mungu wangu.

  12. Afadhali konzi moja pamoja na utulivu kuliko konzi mbili pamoja na taabu na kukimbiza upepo.