Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Offence: Christ, as the bread of life

4 mistari · 31 vipengele

Mistari kuhusu Christ, as the bread of life

  1. Huu ndio mkate ushukao kutoka mbinguni, si kama ule mkate baba zenu waliokula nao wakafa. Lakini yeye aulaye mkate huu ataishi milele.”

  2. Yesu alisema maneno haya alipokuwa akifundisha katika sinagogi huko Kapernaumu.

  3. Wengi wa wafuasi wake waliposikia jambo hili wakasema, “Mafundisho haya ni magumu. Ni nani awezaye kuyapokea?”

  4. Yesu alipojua kwamba wafuasi wake wananungʼunika kuhusu mafundisho yake, akawaambia, “Je, jambo hili limewaudhi?