Mistari ya Biblia kuhusu Moth: An insect
Mistari kuhusu An insect
ni mara ngapi zaidi wale waishio katika nyumba za udongo wa mfinyanzi, ambazo misingi yake ipo mavumbini, ambao wamepondwa kama nondo!
Nyumba aijengayo ni kama utando wa buibui, kama kibanda alichotengeneza mlinzi.
Unakemea na kuadhibu wanadamu kwa ajili ya dhambi zao; unaharibu utajiri wao kama nondo aharibuvyo: kila mwanadamu ni kama pumzi tu.