Mistari ya Biblia kuhusu Moon: Created by God
Mistari kuhusu Created by God
Mungu akafanya mianga miwili mikubwa: mwanga mkubwa utawale mchana, na mwanga mdogo utawale usiku. Pia Mungu akafanya nyota.
Nikiziangalia mbingu zako, kazi ya vidole vyako, mwezi na nyota, ulizoziratibisha,
Ambaye aliumba mianga mikubwa, Fadhili zake zadumu milele.
Jua litawale mchana, Fadhili zake zadumu milele.
Mwezi na nyota vitawale usiku, Fadhili zake zadumu milele.