Mistari ya Biblia kuhusu Mishael: 1. A son of Uzziel, helps carry the bodies of Nadab and Abihu out of the camp
Mistari kuhusu 1. A son of Uzziel, helps carry the bodies of Nadab and Abihu out of the camp
Wana wa Uzieli walikuwa Mishaeli, Elisafani na Sithri.
Mose akawaita Mishaeli na Elisafani, wana wa Uzieli mjomba wake Aroni, akawaambia, “Njooni hapa. Ondoeni miili ya binamu zenu mbele ya mahali patakatifu, mkaipeleke nje ya kambi.”