Mistari ya Biblia kuhusu Midianites: A snare to the Israelites
Mistari kuhusu A snare to the Israelites
Bwana akamwambia Mose,
“Watendeeni Wamidiani kama adui na mwaue,
kwa sababu wao waliwatendea kama adui wakati waliwadanganya katika tukio la Peori na dada yao Kozbi, binti wa kiongozi wa Kimidiani, mwanamke ambaye aliuawa wakati tauni ilikuja kama matokeo ya tukio la Peori.”