Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Midianites: A snare to the Israelites

3 mistari · 28 vipengele

Mistari kuhusu A snare to the Israelites

  1. Bwana akamwambia Mose,

  2. “Watendeeni Wamidiani kama adui na mwaue,

  3. kwa sababu wao waliwatendea kama adui wakati waliwadanganya katika tukio la Peori na dada yao Kozbi, binti wa kiongozi wa Kimidiani, mwanamke ambaye aliuawa wakati tauni ilikuja kama matokeo ya tukio la Peori.”