Mistari ya Biblia kuhusu Man: Grass
Mistari kuhusu Grass
Sauti husema, “Piga kelele.” Nami nikasema, “Nipige kelele gani?” “Wanadamu wote ni kama majani, nao utukufu wao wote ni kama maua ya kondeni.
Majani hunyauka na maua huanguka, kwa sababu pumzi ya Bwana huyapuliza. Hakika wanadamu ni majani.
Majani hunyauka na maua huanguka, lakini neno la Mungu wetu ladumu milele.”