Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Egypt: Watered by the Nile

3 mistari · 105 vipengele

Mistari kuhusu Watered by the Nile

  1. Baada ya miaka miwili kamili kupita, Farao aliota ndoto: Tazama alikuwa amesimama kando ya Mto Naili,

  2. wakati ngʼombe saba, wazuri na wanono, walitokea mtoni wakajilisha kwenye matete.

  3. Baada yao ngʼombe wengine saba, wabaya na waliokonda, wakatokea mtoni Naili wakasimama kando ya wale wanono ukingoni mwa mto.