Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Azubah

2 mistari · 2 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Kalebu mwana wa Hesroni akazaa wana na mkewe Azuba (na pia na Yeriothi). Hawa ndio wana Azuba aliomzalia Kalebu: Yesheri, Shobabu na Ardoni.

  2. Azuba alipofariki, Kalebu akamwoa Efrathi, ambaye alimzalia Huri.