Azubah
Mistari inayomtaja Azubah
Kalebu mwana wa Hesroni akazaa wana na mkewe Azuba (na pia na Yeriothi). Hawa ndio wana Azuba aliomzalia Kalebu: Yesheri, Shobabu na Ardoni.
Azuba alipofariki, Kalebu akamwoa Efrathi, ambaye alimzalia Huri.
Kalebu mwana wa Hesroni akazaa wana na mkewe Azuba (na pia na Yeriothi). Hawa ndio wana Azuba aliomzalia Kalebu: Yesheri, Shobabu na Ardoni.
Azuba alipofariki, Kalebu akamwoa Efrathi, ambaye alimzalia Huri.