Mistari ya Biblia kuhusu Answers To Prayer: Reject the call of God
Mistari kuhusu Reject the call of God
Lakini kwa kuwa mlinikataa nilipowaita na hakuna yeyote aliyekubali niliponyoosha mkono wangu,
kwa kuwa mliyapuuza mashauri yangu yote na hamkukubali karipio langu,
“Ndipo watakaponiita lakini sitawajibu; watanitafuta lakini hawatanipata.